Lyrics

"Huenda maombi ya mashabiki wengi wa Timu ya Manchester United yakatimilika baada ya mwanahabari kutoka Qatar kuchapisha picha ya klabu hiyo katika ukurasa wake wa Twitter na kuacha ujumbe wenye utata juu ya ukamilishwa wa mpango wa kuuzwa kwa Klabu hiyo ya mashetani wekundu.

Kabla ya mechi ya Barcelona na Manchester United kumalizika kwa sare ya bao mbili, mwanahabari na mhariri kutokea Doha, Qatar Majed Al Khelaifi alichapisha picha ya nembo halisi ya Manchester United na kuacha ujumbe uliosema ""Man United, Qatari"". Ujumbe huo unaweza kuinua upya tumaini kwa Mashabiki wa United ambao wamekuwa wakipinga vikali timu hiyo kuendelea kuwa chini ya 'Glazer Family'

Sambamba na Hilo pia wiki chache zilizopita familia hiyo ilitoa tangazo la kutaka kuiuza timu hiyo huku kiasi cha Euro bilioni 5 zikitakiwa kuwekwa kibindoni ili kukamilisha ununuzi huo. Pia Glazer waliongeza ya kuwa fedha hizo zitatumika pia katika shughuli nzima za maboresho ya Uwanja wa Old Trafford kama siyo ujenzi kamili.
View more

Mdundo.com is one of Africa's leading music services! The company aims to provide Africa with easy and legal access to online entertainment and reach millions of people across Africa every month. Mdundo enables artists to keep track of fans, downloads and royalties paid in July and January every year.

By downloading MP3 music from Mdundo.com YOU become part of supporting African artists! You can get the latest music, top mixes and your favorite playlists from top artists across Africa. Mdundo also gives you easy access to the hottest podcast, sports and religious content.

Mdundo is also working with top partners across Africa including Vodacom, MTN, Airtel, Safaricom, Universal Music, Warner Music, Opera and many more to make music accessible for all. Mdundo.com A/S is a publicly listed company and Nasdaq First North Growth Market in Copenhagen, Denmark.

I am a musician! - Log in or Sign up