Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Ubashiri mechi ya Raja Casablanca Vs Simba Sc - Ligi ya Mabingwa Afrika
30 March 2023

[Picha: Telecom Asia]
Mwandishi: Stella Julius
Pata Habari za Muziki na Mixtapes Kwenye Telegram
Klabu ya soka ya Simba Sc siku ya Alhamisi imefunga safari ya kuelekea nchini Morocco kwenda katika mchezo dhidi ya Raja Casablanca wakitokea nchini Qatar walipokuwa wakifanya mazoezi.
Kuelekea mchezo huu Simba Sc pamoja na Raja Casablanca tayari wameshafudhu katika kundi lao na sasa wanaelekea katika hatua ya robo fainali ligi ya Mabingwa Afrika mchezo utakaochezwa siku ya Jumamosi
Waongoza kundi Green eagles wao wameonesha uwezo mkubwa katika kundi lao kwani mpaka sasa hawajapoteza mchezo wowote katika kundi C lililohusisha timu za TP Mazembe, Viper AC sambamba na timu ya Simba SC.
Kwa upande wao wekundu wa msimbazi wao hawakuanza vizuri baada ya kupoteza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Horoya AC. Baada ya mchezo huo Simba walifanikiwa kulipa kisasi dhidi ya timu hiyo kutokea Guinea kwa ushindi wa bao 7-0.
Katika hatua inayofuata Simba wanaingia katika kibarua kizito na timu zilizofanikiwa kupitia hatua ya makundi ni kati ya timu bora zaidi barani Afrika na timu hizo ni kama vile Mamelodi Sundowns Fc, Wydad Casablanca, CR Belouizdad, Esperance JS Kabylie ambazo tayari wamefanikiwa kufika hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika.
Katika mchezo huu wa Simba dhidi ya Casablanca ni mchezo wa kukamilisha ratiba baina ya timu hizi na odds za Raja Casablanca kushinda au kutoa sare ni 1.10
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment