Lyrics

"Klabu za Chelsea pamoja na Newcastle wako mbioni kuisaka saini ya winga kutokea Everton Anthony Gordon ambaye amebakiza takribani miaka miwili ya kuitumikia klabu hiyo.

Majira ya joto katika dirisha kubwa la usajili mwaka jana, Chelsea wakiwa chini ya Thomas Tuchel walishindwa kufanikisha usajili wa nyota huyo wa soka mwenye miaka 21 ambaye pia ni zao la Everton.

Katika kuipambania saini ya winga huyo Chelsea wako tayari kumuachia mchezaji wao Hakim Ziyech ili kuliziba pengo la Gordon Everton. Pia The Blues wako tayari kumuacha Anthony amalizie msimu huu na The Toffees ili kuisaidia isishuke daraja na kumsajili katika msimu ujao.
View more

Mdundo.com is one of Africa's leading music services! The company aims to provide Africa with easy and legal access to online entertainment and reach millions of people across Africa every month. Mdundo enables artists to keep track of fans, downloads and royalties paid in July and January every year.

By downloading MP3 music from Mdundo.com YOU become part of supporting African artists! You can get the latest music, top mixes and your favorite playlists from top artists across Africa. Mdundo also gives you easy access to the hottest podcast, sports and religious content.

Mdundo is also working with top partners across Africa including Vodacom, MTN, Airtel, Safaricom, Universal Music, Warner Music, Opera and many more to make music accessible for all. Mdundo.com A/S is a publicly listed company and Nasdaq First North Growth Market in Copenhagen, Denmark.

I am a musician! - Log in or Sign up