Lyrics

Nyota wa soka anayekipiga katika klabu ya Chelsea kwa sasa Joao Felix ameanza vibaya na timu hiyo mara baada ya kutolewa nje ya mchezo kwa kupewa kadi Nyekundu kutokana na kumfanyia madhambi mchezaji wa Fulham Kenny Tete wakati alipojaribu kumkaba katika dakika ya 58.

Katika mchezo huo ambao Chelsea walikuwa katika uwanja wa ugenini walishuhudiwa wakipata kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya kikosi cha Marco Silva ambacho kimepanda daraja msimu huku.

Baada ya mchezo kukamilika kocha wa Chelsea Graham Potter wakati wa mahojiano baada ya mchezo huo aliitaja kadi aliyopewa Joao Felix kuwa ni moja ya sababu zilizoifanya Chelsea kupoteza mchezo huo dhidi ya Fulham.
View more

Mdundo.com is one of Africa's leading music services! The company aims to provide Africa with easy and legal access to online entertainment and reach millions of people across Africa every month. Mdundo enables artists to keep track of fans, downloads and royalties paid in July and January every year.

By downloading MP3 music from Mdundo.com YOU become part of supporting African artists! You can get the latest music, top mixes and your favorite playlists from top artists across Africa. Mdundo also gives you easy access to the hottest podcast, sports and religious content.

Mdundo is also working with top partners across Africa including Vodacom, MTN, Airtel, Safaricom, Universal Music, Warner Music, Opera and many more to make music accessible for all. Mdundo.com A/S is a publicly listed company and Nasdaq First North Growth Market in Copenhagen, Denmark.

I am a musician! - Log in or Sign up