Lyrics

Kiungo wa Timu ya Manchester United Paul Pogba anatarajiwa kuondoka katika viunga vya timu hiyo kama mcheziji huru baada ya mkataba wake kuisha na mashetani hao wekundu mwishoni mwa mwezi huu wa Juni.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 anatarajiwa kufunga virago vyake baada ya kudumu na timu hiyo tangu msimu wa mwaka 2016/17 baada ya kusajiliwa kutoka Juventus kwa jumla ya Euro milioni 89 na kuleta gumzo.

Pogba ambaye pia ni kiungo wa Timu ya Taifa ya Ufaransa aliyeweza kuichezea timu hiyo ya Manchester United tangu kipindi alipokuwa na umri wa miaka 16 tu katika Academy ya United akitokea Le Havre pia alishawahi kuondoka United akiwa mchezaji huru na kujiunga na Juventus katika msimu wa mwaka 2012-2013.
View more

Mdundo.com is one of Africa's leading music services! The company aims to provide Africa with easy and legal access to online entertainment and reach millions of people across Africa every month. Mdundo enables artists to keep track of fans, downloads and royalties paid in July and January every year.

By downloading MP3 music from Mdundo.com YOU become part of supporting African artists! You can get the latest music, top mixes and your favorite playlists from top artists across Africa. Mdundo also gives you easy access to the hottest podcast, sports and religious content.

Mdundo is also working with top partners across Africa including Vodacom, MTN, Airtel, Safaricom, Universal Music, Warner Music, Opera and many more to make music accessible for all. Mdundo.com A/S is a publicly listed company and Nasdaq First North Growth Market in Copenhagen, Denmark.

I am a musician! - Log in or Sign up