Lyrics

Hatimaye baada ya miaka 36 Argentina wameweza kuibuka mabingwa wa kombe la dunia mara baada ya kuwafunga Ufaransa kwa kikwaju ya penalti 4-2 fainali zilizochezwa katika uwanja wa Lusail.

Katika mchezo huo nyota wa soka Lionel Messi ameweza kuinua kikombe hicho kwa mara ya kwanza na kufanya aweze kumaliza kombe hilo na jumla ya mabao 8 katika mashindano hayo na pia mabao 94 katika timu yake ya Taifa.

Haukua mchezo mrahisi kwa Ufaransa haswa katika kipindi cha kwanza baada ya Argentina kutangulia kupata mabao mawili kupitia kwa Lionel Messi dakika ya 23 pamoja na Angel di Maria katika ile dakika ya 36.
View more

Discover more artists

Mdundo.com is one of Africa's leading music services! The company aims to provide Africa with easy and legal access to online entertainment and reach millions of people across Africa every month. Mdundo enables artists to keep track of fans, downloads and royalties paid in July and January every year.

By downloading MP3 music from Mdundo.com YOU become part of supporting African artists! You can get the latest music, top mixes and your favorite playlists from top artists across Africa. Mdundo also gives you easy access to the hottest podcast, sports and religious content.

Mdundo is also working with top partners across Africa including Vodacom, MTN, Airtel, Safaricom, Universal Music, Warner Music, Opera and many more to make music accessible for all. Mdundo.com A/S is a publicly listed company and Nasdaq First North Growth Market in Copenhagen, Denmark.

I am a musician! - Log in or Sign up