Lyrics

"Manchester United imemteua Erik Ten Hag kuwa bosi mpya wa kudumu wa Red devils ambaye amekuwa meneja wa tano wa kudumu wa Manchester United tangu 2013 Sir Alex Ferguson alipostaafu klabuni hapo.

Erik Ten Hag mwenye umri wa miaka 52 atarithi nafasi hiyo kutoka kwa Ralf Rangnick ambaye aliitumikia klabu hiyo kwa takriban miezi 5 na sasa Erik Ten Hag atakuwa akiinoa United kwa mkataba wa kudumu wa miaka 3 ambao utamalizika Juni 2025.

Wakati huu ambapo Hag anakwenda kuinoa United, anakabiliwa na shinikizo kubwa kutoka kila kona ya Old Trafford kuhusu kuifanyia marekebisho timu hiyo na hadi sasa anachukuliwa kuwa ni Messiah wa Manchester United na mashabiki wa United ambao wanaamini kwamba Erik ten Hag anaweza kurejesha ari yao ya ushindi na timu kurejea kileleni.
View more

Mdundo.com is one of Africa's leading music services! The company aims to provide Africa with easy and legal access to online entertainment and reach millions of people across Africa every month. Mdundo enables artists to keep track of fans, downloads and royalties paid in July and January every year.

By downloading MP3 music from Mdundo.com YOU become part of supporting African artists! You can get the latest music, top mixes and your favorite playlists from top artists across Africa. Mdundo also gives you easy access to the hottest podcast, sports and religious content.

Mdundo is also working with top partners across Africa including Vodacom, MTN, Airtel, Safaricom, Universal Music, Warner Music, Opera and many more to make music accessible for all. Mdundo.com A/S is a publicly listed company and Nasdaq First North Growth Market in Copenhagen, Denmark.

I am a musician! - Log in or Sign up