Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Rayvanny Adokeza Wimbo Mpya “MWAMBIENI”
25 April 2023

[Image Source: Instagram]
Writer: Charles Maganga
Get the Latest Football Predictions on Mdundo.com
Fundi wa muziki kutoka Tanzania Rayvanny hatimaye ametangaza kwamba yuko mbioni kuachia ngoma mpya ya kuitwa Mwambieni.
Rayvanny ambaye pia ni mshindi wa tuzo za BET kwa mwaka 2017 ametoa taarifa hiyo hivi karibuni ikiwa ni siku kadhaa tangu aachie wimbo wake wa Forever ambao unafanya vizuri sana kwa sasa.
Download the Best Kenyan Hits Mixes On Mdundo
Wimbo wa “Mwambieni” unatarajiwa kuwepo kwenye EP ya Rayvanny ya kuitwa “Flowers III” ambayo imeshirikisha wasanii tofauti tofauti kama Jay Melody, Mac Voice, Phina na Bahati kutokea huko nchini Kenya.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram Rayvanny alidokeza ujio wa wimbo huo kwa kuchapisha kipande kidogo cha kionjo na kuwauliza mashabiki zake kuwa wimbo huo utoke lini.
Flowers 3 inatarajiwa kuwa EP ya tano kutoka kwa Rayvanny, EP nyingine kutoka kwa msanii huyo ni Flowers 1, Flowers 2, Unplugged Session na New Chui.
Daily Mixes
DOWNLOAD LATEST BONGO MUSIC MP3
DOWNLOAD LATEST TZ MUSIC MP3
DOWNLOAD LATEST BEST SONGS 2022 MP3
DOWNLOAD LATEST TOP 10 SONGS OF TODAY MP3
DOWNLOAD LATEST MUSIC ALBUMS/EP MP3
DOWNLOAD LATEST TOP 10 SONGS OF 2023 MP3
DOWNLOAD LATEST TOP 10 SONGS OF TODAY MP3
DOWNLOAD LATEST TOP 10 SONGS OF THE WEEK MP3
DOWNLOAD LATEST AFRICAN MUSIC MP3
DOWNLOAD LATEST GHANA MUSIC MP3
DOWNLOAD LATEST KENYA MUSIC MP3
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April
- Who Is Bad Beric
24 April


Leave your comment