TANZANIA: Kiba atoa sababu ya iliyoyeyusha ndoto zake za kucheza mpira
28 January 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453968668_1839_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Msanii anayehit na kibao cha Mwana, Ali Kiba amesema muziki umefanya ameharibu malengo yake ya kucheza mpira wa kulipwa.</p>
<p style="text-align: justify;">Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM, Kiba alisema tangu akiwa mdogo alikuwa na ndoto ya kuwa mchezaji mpira maarufu Tanzania.</p>
<p style="text-align: justify;">“Sababu ilikuwa wimbo wangu wa Cinderela, ulikuwa umehit ikabidi niachane na mpira nikaanza kupiga hela Tanzania nzima nikazunguka.</p>
<p style="text-align: justify;">Lakini kwenye mpira nilikuwa katika form, nikashindwa kuendelea nilikosa muda kabisa wa kucheza mpira”, alisema.</p>
<p style="text-align: justify;">Hata hivyo muimbaji huyo ambaye amekuwa star mkubwa katika muziki wa Bongo Fleva bado anacheza mpira katika timu ya mtaani kwake kama mazoezi.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Msanii anayehit na kibao cha Mwana, Ali Kiba amesema muziki umefanya ameharibu malengo yake ya kucheza mpira wa kulipwa.</p>
<p style="text-align: justify;">Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM, Kiba alisema tangu akiwa mdogo alikuwa na ndoto ya kuwa mchezaji mpira maarufu Tanzania.</p>
<p style="text-align: justify;">“Sababu ilikuwa wimbo wangu wa Cinderela, ulikuwa umehit ikabidi niachane na mpira nikaanza kupiga hela Tanzania nzima nikazunguka.</p>
<p style="text-align: justify;">Lakini kwenye mpira nilikuwa katika form, nikashindwa kuendelea nilikosa muda kabisa wa kucheza mpira”, alisema.</p>
<p style="text-align: justify;">Hata hivyo muimbaji huyo ambaye amekuwa star mkubwa katika muziki wa Bongo Fleva bado anacheza mpira katika timu ya mtaani kwake kama mazoezi.</p>




Leave your comment