EXCLUSIVE (TANZANIA) – Sijawahi tongoza maishani mwangu - Kiba
21 January 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453383093_6279_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Hitmaker wa Mwana, Ali Kiba amesema hajawahi kutongoza mwanamke katika maisha yake.</p>
<p style="text-align: justify;">Kiba ambaye kwa sasa anadaiwa kutoka kimapenzi na Jokate, amesema hayo kwenye kipindi cha The Sporah Show kuwa wasichana anaotoka nao huanza kama washkaji tu.</p>
<p style="text-align: justify;">“Haya mambo ya kutongoza sijatogozaga”, alisema. “Mimi nakwambia maisha yangu yote sijawahi kutongoza. Tunakuwa friendly hivyo vitu vinatokea halafu basi, tayari wapenzi”.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Hitmaker wa Mwana, Ali Kiba amesema hajawahi kutongoza mwanamke katika maisha yake.</p>
<p style="text-align: justify;">Kiba ambaye kwa sasa anadaiwa kutoka kimapenzi na Jokate, amesema hayo kwenye kipindi cha The Sporah Show kuwa wasichana anaotoka nao huanza kama washkaji tu.</p>
<p style="text-align: justify;">“Haya mambo ya kutongoza sijatogozaga”, alisema. “Mimi nakwambia maisha yangu yote sijawahi kutongoza. Tunakuwa friendly hivyo vitu vinatokea halafu basi, tayari wapenzi”.</p>




Leave your comment