EXCLUSIVE (TANZANIA) – Sijawahi tongoza maishani mwangu - Kiba

<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453383093_6279_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">Hitmaker wa Mwana, Ali Kiba amesema hajawahi kutongoza mwanamke katika maisha yake.</p>
<p style="text-align: justify;">Kiba ambaye kwa sasa anadaiwa kutoka kimapenzi na Jokate, amesema hayo kwenye kipindi cha The Sporah Show kuwa wasichana anaotoka nao huanza kama washkaji tu.</p>
<p style="text-align: justify;">&ldquo;Haya mambo ya kutongoza sijatogozaga&rdquo;, alisema. &ldquo;Mimi nakwambia maisha yangu yote sijawahi kutongoza. Tunakuwa friendly hivyo vitu vinatokea halafu basi, tayari wapenzi&rdquo;.</p>

Leave your comment

Top stories