Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Diamond kutajwa tena kuwania tuzo nyingine za MAYA za Nigeria
8 January 2016

Msanii Diamond Platnumz amekuwa akitajwa mara nyingi kuwania tuzo mbalimbali na kusababishwa kuitwa jina la ‘Mond Bin Awards’, ametajwa kuwania tuzo za ‘MAYA’ (MOREKLUE ALL YOUTH AWRDS 2016) za nchini Nigeria, ikiwa ndo nomination yake ya kufungulia mwaka kwa mwaka huu 2016.
Ambapo Diamond anawania katika kipengele cha ‘African Music Act’ akiwa pamoja na wasanii wengine wenye majina makubwa Afrika akiwemo Wizkid, Sarkodie, Fuse ODG, Davido, AKA, Olamide na Casper Nyovest.
Tuzo hizo za MAYA zitatolewa Januari 31, 2016 jijini Lagos, Nigeria.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- To The Top
04 May
- Jalingo
04 May




Leave your comment