Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Amepotea: Mbosso Kivingine Na Ngoma Mpya
12 May 2023

[Picha: Instagram]
Mwandishi-Charles Maganga
Nyimbo Mpya Tanzania Wiki Hii
Baada ya ukimya wa takriban miezi mitano tangu aachie EP yake ya kuitwa “Khan” msanii Mbosso kutokea WCB amerudi tena na ngoma mpya kabisa ya kuitwa “Amepotea”
Ikumbukwe kuwa Mbosso wiki chache zilizopita, alishinda tuzo moja katika Tanzania Music Awards kama Msanii Bora Wa Bongo Fleva kwenye tuzo hizo.
Kwenye ngoma yake hii mpya ya kuitwa “Amepotea”, Mbosso anachukua nafasi ya mwanaume anayetafutwa kwa hali na mali na familia yake baada ya yeye kutoroka na kuhamia kwa mpenzi wake ambako anapewa mahaba mazito.
“Amepotea” imetayarishwa na S2kizzy ambaye ni mtayarishaji wa muziki kutoka Tanzania ambaye ameshafanya kazi na wasanii wakubwa mbalimbali huku video ikiwa imetayarishwa na Director Ivan.
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment