Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Meneja wa Diamond awa Meneja wa AY..
15 March 2016

Siku chahe baada ya Rich Mavoko kusaini na mkataba wa chini ya lebo ya WCB, leo msanii AY ameposti picha ambayo inamuonesha akiwa na meneja wa lebo ya WCB Sallam iliyokuwa na ujumbe wa unaothibitisha kuwa kwa sasa msanii huyo yupo chini ya Lebo ya WCB.
AY katika account yake ya Instagram alipost na kuandika:

AY katika picha hiyo aliandika:

Sallam Sharaf, Meneja nae alipost na kuandika:


Weekly Top 10 songs
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July




Leave your comment