TANZANIA: Watanzania wafanya vizuri tuzo za AMVCA
7 March 2016

Tayari Tanzania imeweza kung’ara tena anga za kimataifa baada ya wasanii wa filamu za Bongo, Maalufu Bongo Movies, Single Mtambalike ‘Richie Richie’ nia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa kila mmoja kufanikiwa kutwaa tuzo mbili za Kimataifa za Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016, zinazofanyika Nchini Nigeria ndani ya mji Lagos. Katika tuzo hizo msanii Alikiba anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Afrika Mashariki na alitumbusha katika sherehe hiyo.

Elizabeth Michael 'Lulu'

Richie Mtambalike 'Single'
Elizabeth Michael (Lulu) amefanikiwa kutwaa tuzo ya Best Movie East Africa kupitia movie yake ya “MAPENZI” na Richie Richie akitwaa tuzo ya Best Indigeous Language Movie/TV Series Swahili kupitia Movie ya “KITENDAWILI”.

Elizabeth Mihael 'Lulu' akiwa na Alikiba

Richie akiwa na msanii kutoka Nigeria
Mbali na wasanii wa Tanzania pia wasanii mbalimbali kutoka Bara la Afrika nao walifanikiwa kutwaa tuzo hizo usiku huu ni pamoja na:
BEST ART DIRECTOR (MOVIE/TV SERIES)- The refugees – Frank Raja Arase
BEST TELEVISION SERIES- Daddy’s Girls – Ariyike Oladipo
BEST MAKEUP ARTIST (MOVIE/TV SERIES)-Ayanda – Louiza Calore
BEST SHORT FILM-A day with death – Oluseyi Amuwa
BEST WRITER (MOVIE AND TV SERIES)-Ayanda – Trish Malone
BEST LIGHTING/DESIGN-Common Man- Stanley Ohikhuare
BEST CINEMATOGRAPHY-Tell me sweet something- Paul Michaelson
BEST SOUND EDITING-Marquex Jose Guillermo
BEST PICTURE EDITING-Rebecca- Shirley Frimpong-Manso
BEST COSTUMING-Uche Nancy- Dry
BEST ACTRESS IN A COMEDY- Jenifa’s Diary- Funke Akindele
TRAILBLAZER AWARD-Kemi Lala-Akindoju
BEST MOVIE- SOUTHERN AFRICA-Joyce Mhango Chaiguala
BEST MOVIE- EASTERN AFRICA-Mapenzi- Elizabeth Michael
BEST MOVIE- WESTERN AFRICA-Chinny Onwugbenu, Chichi Nwoko and Genevieve Nnaji – Road to Yesterday
BEST ACTRESS IN A DRAMA-Falling- Adesua Etomi
BEST ACTOR IN A DRAMA-A Soldier’s Story- Daniel K. Daniel
BEST DIRECTOR- Tell me Sweet Something- Akin Omotosho
BEST OVERALL MOVIE- Dry- Stephanie Linus
Tazama hapa show ya Ali Kiba:




Leave your comment