Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA:AT atoa wimbo mpya
1 March 2016

Msanii wa muziki wa miduara nchini Tanzania anejulikana kwa jina la AT King, hivi karibuni ametoa nyimbo yake iitwayo 'Ayo kwa Ayo'. AT ameshawahi kubamba na nyimbo kama 'Samaki', 'Bao la kete' na nyinginezo nyingi. AT ni mwanamuziki anayeitambulisha vizuri visiwa vya Pemba na Unguja.
Unaweza kuisikiliza nyimbo hii hapa:
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment