TANZANIA:AT atoa wimbo mpya

 

Msanii wa muziki wa miduara nchini Tanzania anejulikana kwa jina la AT King, hivi karibuni ametoa nyimbo yake iitwayo 'Ayo kwa Ayo'. AT ameshawahi kubamba na nyimbo kama 'Samaki', 'Bao la kete' na nyinginezo nyingi. AT ni mwanamuziki anayeitambulisha vizuri visiwa vya Pemba na Unguja.

Unaweza kuisikiliza nyimbo hii hapa:

Leave your comment