Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Gigy money afunguka baada ya Rich Mavoko kukana kutoka nae kimapenzi.
29 February 2016

Baada ya video queen wa kibongo Gigy Money kudai kuwa aliwahi kutoka na msanii wa nyimbo za bongo fleva Rich Mavoko, na Rich kuja kukana kwamba hajawahi kuwa nae. Gigy money amemua kufunguka na kuweka hadharani ujumbe wa maandishi waliokuwa wakisiliana na Rich Mavoko.
Gigy alipost mzungumzo hayo kupitia account yake ya Instagram na baadae kuzifuta.

"mimi mwenyewe sikujui vilevile", aliandika Gigy

"Hahahahahahahahahahahaha, unajua Rich nitakudhalilisha..... mimi ni kimya tu lakini sio mpole hata kidogo. Unajikuta umenisahau bwege wewe" aliadika Gigy

"Banduuudgu kujichubua kwako ndo nikuogope wewe Richard weweee umeomba watu wanipigie nisikutie aibu sasa unaleta utoto sina ninachokipoteza, kumbuka I don't care" aliandika Gigy
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment