Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mr Nice aghairi kuachia video yake mpya kwa madai ya kuwa chini ya kiwango
26 February 2016

Msanii mkongwe nchini, Mr Nice amesema ameshindwa kuachia video yake mpya ya ‘Kioo’ kwasababu ya kuwa chini ya kiwango, hivyo hali hiyo ingemshushia heshima.
Msanii huyo ameiambia tovuti ya Bongo 5 kuwa, tayari ameshashoot kazi mpya ambayo itatoka ikishakamilika.
“Video ya kioo tayari sema tumeshindwa kuitoa mimi na management yangu kutokana na kuwa chini ya kiwango. Kwahiyo tukashauriana na watu wangu tukaona hii sio kazi ya kwenda kwa jamii. Hivi sasa tayari tumeshoot nyingine kwahiyo mashabiki wakae mkao wa kula”, alisema Mr Nice.
Pia aliongeza kuwa hayupo kwa ajili ya kushindana na wasanii wengine kwani tayari alishafanya vitu vikubwa kwa wakati wake.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment