Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: AliKiba -“Siwezi kuoa mama wa watoto wangu yeyote niliyezaa nae”.
24 February 2016

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ali Kiba amesikikika akisema kuwa, hataweza kumuoa mwanamke yeyote aliyewahi kuzaa nae.
Msanii huyo wa bongo fleva amekiambia kituo cha Radio Free Africa (RFA) kupitia kipindi chacke cha chill and sky na kusema kuwa,” Huwezi kumuoa mtu kama hamuelewani. Nia yangu ilikuwa kustick na kila mama wa mmoja toka nilipoanza, lakini mambo yanaenda tofauti, huenda mnagombana au anapata mtu mwingine”.
Msanii huyo ambaye ni baba wa watoto watatu, wakike wawili wa kike Amiya na Chammy Kiba pamoja na mmoja wa kiume Sameer Kiba ambaye kila mmoja ana mama yake.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May


Leave your comment