TANZANIA: Wema ayaandika haya baada ya kuharibika kwa ujauzito wake!
18 February 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1455784126_6540_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;">Mrembo toka kiwanda cha Bongo movie na aliyekuwa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu athibitisha kuharibika kwa ujauzito wake na kuthibitisha kuhusu suala hilo.</p>
<p style="text-align: justify;">Taarifa hiyo ilianza kusambaa baada ya mpenzi wake Idris Sultan kuandika ujumbe kwa kupoteza watoto wake mapacha na waliokuwa tumboni bado.</p>
<p style="text-align: justify;">Kupitia Instagram Wema Sepetu ameandika;</p>
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1455784425_4875_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Pole sana Wema, Mungu hutoa na pia hutwaa. </p>
<p style="text-align: justify;">Mrembo toka kiwanda cha Bongo movie na aliyekuwa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu athibitisha kuharibika kwa ujauzito wake na kuthibitisha kuhusu suala hilo.</p>
<p style="text-align: justify;">Taarifa hiyo ilianza kusambaa baada ya mpenzi wake Idris Sultan kuandika ujumbe kwa kupoteza watoto wake mapacha na waliokuwa tumboni bado.</p>
<p style="text-align: justify;">Kupitia Instagram Wema Sepetu ameandika;</p>
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1455784425_4875_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Pole sana Wema, Mungu hutoa na pia hutwaa. </p>




Leave your comment