Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Kabla ya kuchana Young Killer alishawahi kuimba, soma zaidi hapa!
12 February 2016

Rapa Young Killer, amedai yakuwa kabla ya kuwa rapa amewahi kuimba kawaida.
Young Killer amesema kuwa amewahi kupata nafasi ya kurekodi kwa mara ya kwanza baada ya kusikia sauti yake inafananishwa na msanii wa Bongo Fleva Keisha.
Ameyasema hayo kwenye mahojiano na kituo cha Radio City FM wakati akiwa anatambulisha wimbo wake mpya uitwao ‘Insta Message’.
“Mimi nilikuwa mwimbaji, nimeimba sana …kwa Mfano Ali Kiba nimeimba album yake ya Cinderella yote”, alisema Young Killer.
“Nakumbuka kuna producer alikuwa ananifurahia kwasababu nilikuwa kachalii halafu kasauti kadogo, kanatoka kama Keisha anavyoimba ..basi jamaa akaniambia dogo nakupa ofa njoo urekodi’.
Msanii huyo mwenyeji wa jijini Mwanza ameachia wimbo wake mpya wa ‘Insta Message’.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment