Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ben Pol, Maua Sama na Diamond ni kati ya wasanii ambao Hermy B anatamani kufanya nao kazi!
10 February 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1455110051_1228_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Producer na CEO wa Bhitz Music Group, Hermy B amewataja wasanii anaotamani kufanya nao kazi, akiwemo Maua Sama.</p>
<p style="text-align: justify;">Akizungumza na 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii, Hermy B alisema Maua Sama, Ben Pol na Diamond ni miongoni mwa wasanii anaotamani kufanya nao kazi.</p>
<p style="text-align: justify;">“Sijawahi kufanya kazi na Maua Sama, lakini natamani kufanya naye kazi kutokana na ubora wa sauti yake. Kwahiyo Maua Sama ni mmoja kati ya wasanii ambao nina imani naye. Pia natamani kufanya kazi na Ben Pol, sijawahi kufanya kazi na Ben Pol”, alisema Hermy B.</p>
<p style="text-align: justify;">Aliongeza kuwa, “Pia natamani kufanya kazi na Diamond kutokana na sauti yake ambavyo anaweza kuitwist, halafu one thing kwamba Diamond ana element moja ambayo watu wengi hawaijui, Diamond ni rapper”.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Producer na CEO wa Bhitz Music Group, Hermy B amewataja wasanii anaotamani kufanya nao kazi, akiwemo Maua Sama.</p>
<p style="text-align: justify;">Akizungumza na 255 katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii, Hermy B alisema Maua Sama, Ben Pol na Diamond ni miongoni mwa wasanii anaotamani kufanya nao kazi.</p>
<p style="text-align: justify;">“Sijawahi kufanya kazi na Maua Sama, lakini natamani kufanya naye kazi kutokana na ubora wa sauti yake. Kwahiyo Maua Sama ni mmoja kati ya wasanii ambao nina imani naye. Pia natamani kufanya kazi na Ben Pol, sijawahi kufanya kazi na Ben Pol”, alisema Hermy B.</p>
<p style="text-align: justify;">Aliongeza kuwa, “Pia natamani kufanya kazi na Diamond kutokana na sauti yake ambavyo anaweza kuitwist, halafu one thing kwamba Diamond ana element moja ambayo watu wengi hawaijui, Diamond ni rapper”.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment