TANZANIA: Kabla ya kuifungia ‘Shika Adabu Yako’ Nay asema BASATA wajitafakari kwanza kabla ya kufanya hivyo!
10 February 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1455091813_1599_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Rapa Nay Wa Mitego ameachia wimbo mpya jana tareh 9 inayoitwa ‘Shika Adabu Yako’, na ndani ya wimbo huo ametoa vijembe vingi kwa watu tofauti tofauti wakiwemo wasanii wa bongo movie, wanachuo, wanamuziki wenzie na BASATA.</p>
<p style="text-align: justify;">Mwaka jana ROMA alitoa wimbo wa #VIVAROMAVIVA ambao ulifungiwa pamoja na nyimbo nyingine na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa madai kuwa aliwasema watu kwa maneno ya yasiyo na ushahidi.</p>
<p style="text-align: justify;">Lakini katika wimbo wake mpya amejihami kwa kusema BASATA kabla ya kuifungia nyimbo yake itabidi wajitathmini kwanza.</p>
<p style="text-align: justify;">Pia Nay ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa atapumzika na tayari ameshasema ni kwa mwezi mmoja tu.</p>
<p style="text-align: justify;">Na pia lengo la wimbo huu Nay amesema kwa muda mrefu game haijachangamka na hakuna aliyetoa ngoma ya kuleta changamoto baina ya watu kwahiyo ameileta hii ili kuchangamsha genge.</p>
<p style="text-align: justify;">Sikiliza wimbo huo hapa chini;</p>
<p style="text-align: justify;"><iframe src="http://www.audiomack.com/embed4-large/dj-choka/shika-adabu-yako" width="100%" height="265" frameborder="0" scrolling="no"></iframe></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Rapa Nay Wa Mitego ameachia wimbo mpya jana tareh 9 inayoitwa ‘Shika Adabu Yako’, na ndani ya wimbo huo ametoa vijembe vingi kwa watu tofauti tofauti wakiwemo wasanii wa bongo movie, wanachuo, wanamuziki wenzie na BASATA.</p>
<p style="text-align: justify;">Mwaka jana ROMA alitoa wimbo wa #VIVAROMAVIVA ambao ulifungiwa pamoja na nyimbo nyingine na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa madai kuwa aliwasema watu kwa maneno ya yasiyo na ushahidi.</p>
<p style="text-align: justify;">Lakini katika wimbo wake mpya amejihami kwa kusema BASATA kabla ya kuifungia nyimbo yake itabidi wajitathmini kwanza.</p>
<p style="text-align: justify;">Pia Nay ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa atapumzika na tayari ameshasema ni kwa mwezi mmoja tu.</p>
<p style="text-align: justify;">Na pia lengo la wimbo huu Nay amesema kwa muda mrefu game haijachangamka na hakuna aliyetoa ngoma ya kuleta changamoto baina ya watu kwahiyo ameileta hii ili kuchangamsha genge.</p>
<p style="text-align: justify;">Sikiliza wimbo huo hapa chini;</p>
<p style="text-align: justify;"><iframe src="http://www.audiomack.com/embed4-large/dj-choka/shika-adabu-yako" width="100%" height="265" frameborder="0" scrolling="no"></iframe></p>




Leave your comment