TecnoOwnTheStage: Piga kura sasa kumchagua mshindi umtakaye, Fainali Feb 7!

 

Je ni Tanzania, Nigeria, au Kenya itakayoshangilia ushindi Jumapili hii? Fainali ya kwanza yay a shindano la Tecno Own The Stage itakayofanyika Februari 7 jijini Lagos, Nigeria na kushuhudia waimbaji wane wenye vipaji wakiwakilisha nchi hizo tatu.

Nandy anapeperusha bendera ya Tanzania huku Nigeria ikiwakilishwa na Shapeera. Wakati Kenya ikiwakilishwa na Sikin na Pascal.

Kiasi cha Dolla $25,000 kushindaniwa na ushindi upo mikononi mwako.

Mpigie kura sasa mshiriki umpendae kwa kufuata maelekezo haya;

Piga kura kwa kufuata link hii - http://tecnoownthestage.com/vote/ 

Pia usikose kutazama fainali hizo kupitia Africa Magic na pia kupitia You Tube.

Pia usipitwe na taarifa zote muhimu kwa kufuata account za mitandao ya kijamii

Facebook - Tecno Own The Stage

Twitter - @tecnoownstage

Instagram- @tecnoownthestage

Jiunge kwenye mazungumzo na kuwa huru kulike, kucomment na kushare ukipendacho. Hakikisha unashare na marafiki zako kizuri kwa kutumia hashtag ya #TecnoOwnTheStage.

Pia usipitwe na taarifa zote muhimu kwa kufuata account za mitandao ya kijamii

 

Leave your comment