Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond yupo ‘Booked’ hadi May – Sallam
2 February 2016

Mmoja kati ya mameneja wanaomsimamia msanii Diamond, Sallam amesema kuwa msanii huyo tayari yupo booked kuanzia Februari hadi mwezi May.
Akizungumza na Swahili Radio Talk ya nchini Denmark, Sallam alisema yeye na mameneja wenzake wamehakikisha msanii wao anapata show za kutosha.
“Kila mwaka unapoanza ni lazima tuwe na ajenda ya kutengeneza program ya mwaka mzima, ndio maana mpaka sasa unakuta show zinaanza februari na tupo booked mpaka mwezi May” alisema Sallam.
“Kama mimi sahivi nipo Ulaya nafanya maandalizi ya tour yetu ya Ulaya na mambo yanaenda poa. Kwasababu watu wengi walikuwa wana hofu asije akatangazwa anakuja halafu asije ndio maana na mimi nipo huku kuweka mambo sawa” aliongeza.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May
- Angel Prince Biography
27 May


Leave your comment