Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond yupo ‘Booked’ hadi May – Sallam
2 February 2016

Mmoja kati ya mameneja wanaomsimamia msanii Diamond, Sallam amesema kuwa msanii huyo tayari yupo booked kuanzia Februari hadi mwezi May.
Akizungumza na Swahili Radio Talk ya nchini Denmark, Sallam alisema yeye na mameneja wenzake wamehakikisha msanii wao anapata show za kutosha.
“Kila mwaka unapoanza ni lazima tuwe na ajenda ya kutengeneza program ya mwaka mzima, ndio maana mpaka sasa unakuta show zinaanza februari na tupo booked mpaka mwezi May” alisema Sallam.
“Kama mimi sahivi nipo Ulaya nafanya maandalizi ya tour yetu ya Ulaya na mambo yanaenda poa. Kwasababu watu wengi walikuwa wana hofu asije akatangazwa anakuja halafu asije ndio maana na mimi nipo huku kuweka mambo sawa” aliongeza.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment