TANZANIA – Madee agoma kutimiza ahadi aliyoahidi baada ya timu yake kufungwa
25 January 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453721318_3287_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Msanii toka Tip Top connection amejikuta kwenye wakati mgumu kutimiza kile alichoahidi baada ya timu yake Arsenal jana kufungwa bao mbili bila na Chelsea.</p>
<p style="text-align: justify;">Msanii huyo ambaye ni shabiki wa Arsenal aliwaahidi mashabiki wake kuwa endapo timu hiyo itafungwa, atachoma gari lake moto.</p>
<p style="text-align: justify;">Baada ya mechi hiyo siku ya Jumapili, timu yake ilipokea kichapo hicho na alishindwa kutimiza alichoahidi.</p>
<p style="text-align: justify;">Kupitia ukurasa wake wa Twitter aliandika;</p>
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453721409_9427_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Msanii toka Tip Top connection amejikuta kwenye wakati mgumu kutimiza kile alichoahidi baada ya timu yake Arsenal jana kufungwa bao mbili bila na Chelsea.</p>
<p style="text-align: justify;">Msanii huyo ambaye ni shabiki wa Arsenal aliwaahidi mashabiki wake kuwa endapo timu hiyo itafungwa, atachoma gari lake moto.</p>
<p style="text-align: justify;">Baada ya mechi hiyo siku ya Jumapili, timu yake ilipokea kichapo hicho na alishindwa kutimiza alichoahidi.</p>
<p style="text-align: justify;">Kupitia ukurasa wake wa Twitter aliandika;</p>
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453721409_9427_b.jpg" alt="" /></p>




Leave your comment