Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) - Nikipata mpenzi mpya nitatangaza mwenyewe - Shilole
11 January 2016

Mwanamuziki Shilole a.k.a Shishi baby amesema baada ya kuachana na Nuh Mziwanda bado nafasi ya moyo wake haijapata mtu mwingine wa kuziba nafasi yake.
Zimekuwepo tetesi kuwa Shishi baby anatoka na msanii mwingine wa Bongo Fleva, Nyauloso zamani alikuwa kifahamika kama Bonge la nyau, huku wengine wakisema ana mahusiano na msanii wa Uganda Eddy Kenzo.
"Mimi sijapata mpenzi mpya mimi nipo tu, mpenzi mpya nitasema mwenyewe kwa mdomo wangu mimi" Shishi ameeleza kupitia 255 ya XXL ya Clouds FM. "Nifanye interview niseme jamani nina mpenzi mpya, lakini saivi msisikie rumors zinazotokea subirini mimi niwahakikishie" alisema shilole.
Kuhusu Eddy Kenzo, Shilole amesema ni kama kaka yake lakini wanawasiliana sana na kuongeza endapo urafiki wao utazaa penzi basi atatangaza rasmi.
Tazama hapa baadhi ya picha za mpenzi wa zamani wa shilole, Nuhu Mziwanda;

Shilole akiwa na Nuh

Nuh
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment