Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA)- Dully Sykes na Yamoto Band kuachia ngoma mpya ijumaa hii
19 November 2015

Kundi la Yamoto Band limefanikiwa kufanya kolabo na msanii nguli Dully Sykes. Ambapo msanii huyo mkongwe amesema ngoma hiyo iko tayari pamoja na video yake na wanatarajia kuiachia ijumaa ya wiki hii. Kaa tayari kwa kupata buraudani kutoka kwao.
Source:Millard Ayo
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Redice1 story
04 May
- Parsonal background
04 May




Leave your comment