Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA): Haya Ndiyo Anayo Ya Kusema Joh Makini Kuhusu Ushindi Wa Diamond
4 November 2015
Diamond Platnumz ameshinda Tuzo ya Best Worldwide Act siku chache zilizopita nchini Italy, rapper Joh Makini kaupokea kwa furaha ushindi huo kwa sababu ushindi wake ni heshima kwa Africa pia.

Kingine ni kwamba Joh amesema amefurahi kwa sababu Diamond amekuwa akijituma sana kitu kinachosaidia hata wasanii wengine kufunguliwa milango ya mafanikio kupitia juhudi zake.
RELATED
EXCLUSIVE (TANZANIA)- Nasibu Abdul angekuwa mume wangu wa maisha –Wema Sepetu
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Redice1 story
04 May
- Parsonal background
04 May




Leave your comment