Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (NIGERIA)- Mr Flavour kufanya tamasha na band yake Tanzania December 8
23 October 2015

Msanii wa Lagos-High life Maestro, Flavour kufanya tamasha terehe 8 Disemba mwaka huu na band yake “December to Remember”. Kwa mujibu wa tovuti ya news 24 Nigeria imesema kuwa hii itakuwa mara ya kwanza kwa Flavour kufanya tamasha Tanzania, ambayo inaweza amehamasishwa na kolabo aliyofanya na msanii pendwa wa Tanzania Diamond Platnumz katika wimbo wa Nana.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Oyo Oyo oyaa
10 September
- Market Trend On FootWear Major Industry
11 September
- RMG Trade on GOLD
11 September





Leave your comment