Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA): Shilole Kuchora Tattoo Nyingine Ya Nuhu
21 October 2015

Watu wengi hupenda kuchora tattoo kwa kumbukumbu za siku muhimu, au kitu fulani ambacho anakipenda. Hivi karibuni msanii Shilole alichora tattoo ya mpenzi wake Nuhu Mziwanda kifuani ikiwa ni ishara ya mapenzi yake kwa mpenzi wake huyo.
EXCLUSIVE (TANZANIA): Msanii Diamond Kupongezwa Na MTV Base

Lakini hiyo haitoshi mwanadada huyo akizungumza na Global Publishers asema ana mpango wa kuchora tattoo nyingine sehemu ya kalio lake moja, ikiwa ni ishara ya kuonyesha mapenzi yake ya dhati.
“Mimi bado tattoo moja ya muhimu sana ambayo nataka kuchora kwenye kalio ili kuonyesha jinsi gani navyompenda mpenzi wangu” alisema Shishi.
RELATED
EXCLUSIVE (TANZANIA): Sheddy Clever Kutoa Wito Kwa Watayarishaji Wenzake Wa Muziki
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Parsonal background
04 May
- Redice1 story
04 May




Leave your comment