Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA): Sheddy Clever Kutoa Wito Kwa Watayarishaji Wenzake Wa Muziki
16 October 2015

Mtayarishaji wa muziki Tanzania Sheddy Clever awaambia watayarishaji wenzake kufanya kazi kwa bidii ili nchi yetu ipate wawakilishi wengi katika tuzo mbalimbali za kimataifa. Mtayarishaji huyo ambae aliandaa wimbo wa “My number One” alioimba msanii Diamond na kumwezesha kumfungulia milango mingi ya mafanikio, pia alitajwa kuwania tuzo za AFRIMMA mwaka jana na mwaka huu. Miongoni mwa kazi zinazosubiriwa kutoka kwa mtayarishaji huyo ni collabo kati ya Diamond na msanii wa R&B wa Marekani NeYo.
RELATED
EXCLUSIVE(TZ): ''Sio picha nzuri mwanangu apatane na picha ya babake anamtia denda demu... '' Diamond Shares How Tiffa Has Changed His Life
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Oyo Oyo oyaa
10 September
- Market Trend On FootWear Major Industry
11 September
- RMG Trade on GOLD
11 September





Leave your comment