Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA): Sheddy Clever Kutoa Wito Kwa Watayarishaji Wenzake Wa Muziki
16 October 2015

Mtayarishaji wa muziki Tanzania Sheddy Clever awaambia watayarishaji wenzake kufanya kazi kwa bidii ili nchi yetu ipate wawakilishi wengi katika tuzo mbalimbali za kimataifa. Mtayarishaji huyo ambae aliandaa wimbo wa “My number One” alioimba msanii Diamond na kumwezesha kumfungulia milango mingi ya mafanikio, pia alitajwa kuwania tuzo za AFRIMMA mwaka jana na mwaka huu. Miongoni mwa kazi zinazosubiriwa kutoka kwa mtayarishaji huyo ni collabo kati ya Diamond na msanii wa R&B wa Marekani NeYo.
RELATED
EXCLUSIVE(TZ): ''Sio picha nzuri mwanangu apatane na picha ya babake anamtia denda demu... '' Diamond Shares How Tiffa Has Changed His Life
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Parsonal background
04 May
- Redice1 story
04 May




Leave your comment