EXCLUSIVE (TANZANIA): Msanii Diamond Kupongezwa Na MTV Base
16 October 2015
Baada ya kujinyakulia tuzo ya AFRIMMA wiki iliyopita huko Dallas Texas Marekani msanii Diamond apongezwa na MTV Base kupitia ukurasa wao wa twitter kwa kushinda tuzo ya The Best African Act katika tuzo za Mtv EMA (Europe Music Awards). Katika ukurasa wao wa twitter imesomeka: ''#MTVEMA|Congratulation @Diamondplatnumz who is the Best African Act.''

Pia alipongezwa na kundi la Sauti Sol ambao walishinda tuzo hizo mwaka jana.
RELATED




Leave your comment