EXCLUSIVE (TANZANIA): Msanii Diamond Kupongezwa Na MTV Base

Baada ya kujinyakulia tuzo ya AFRIMMA wiki iliyopita huko Dallas Texas Marekani msanii Diamond apongezwa na MTV Base kupitia ukurasa wao wa twitter kwa kushinda tuzo ya The Best African Act katika tuzo za Mtv EMA (Europe Music Awards). Katika ukurasa wao wa twitter imesomeka: ''#MTVEMA|Congratulation @Diamondplatnumz who is the Best African Act.''

Pia alipongezwa na kundi la Sauti Sol ambao walishinda tuzo hizo mwaka jana.

RELATED 

 NEW RELEASE (TZ): Msanii Songa Kuachia Wimbo Mpya Leo

Leave your comment