Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
NEW RELEASE (TZ): Msanii Songa Kuachia Wimbo Mpya Leo
15 October 2015

Msanii Songa, anatarajia kuachia nyimbo mpya leo tarehe 15 oktoba. Nyimbo inayoenda kwa jina la 'Keki Ya Taifa'. Msanii ambae pia anatamba na kibao cha Hisia za moyoni ambacho kimetoka hivi karibuni, anakuja tena kivingine kutokana na hali ya uchaguzi ilivyo kwa sasa.
RELATED
EXCLUSIVE (TANZANIA): Mdundo Mpya Wa Christian Bella Na Ali Kiba Hautoki Bila Video!
Weekly Top 10 songs
Top stories
- NEW COLLABORATION UNLOCKED
01 July
- WASH AWAY ALL MY SIN
30 June
- 10000
30 June




Leave your comment