Lyrics: Gnako Ft. Diamond Platnumz 'Komando'


[Image Source: Instagram]

Join our Whatsapp Channel For the Latest News and Music

Mhh…
(Yeah.!)
Waaraaa…h!
(Leo lion simba na zombi wa mazombi)
We zombie.. !
(Leo lion simba na zombi wa mazombi)
Haujui..!?
(Leo lion simba na zombi wa mazombi)
We zombie
(Leo lion simba na..!)
Na simba la masimba dangote

Promote Your Music on Mdundo Today

Omalicha, omalicha..!
Wowowo feki unatingisha
Unaona sifa, tu misifa
We endelea kuzigida utazilipa
We jifanye born hapa
(Mzaliwa)
Na chako tukikitaka
(Kinaliwa)
Wana…….
(Maziwa)
Japo fululu mi matter
(Unalia)

Kwanza poleni, poleni
Nawapa wote poleni
Nawatakia poleni
Nawasalia poleni
Ee, mlioachwa
(Poleni)
Mnaodai
(poleni)
Msio na baby
(Poleni)
Mkakojoe
(Kalaleni)


Komando, komando
(Waambie sisi ndio vipensi komando)
(Waambie sisi ndio vipensi komando)
Kanfuma na katoto katanga
Kamfuma kametoka na kanga ghetto
(Ehh..)

Kanfuma na katoto katanga
Kamfuma kametoka na kanga ghetto
Abah tiee..!
Abah wenah..!
Oh my queen
Nipe tena
Apa chini
Shuka tena
Ona nini.?
Unahema.!

Mchepuko leo nae kasalitiwa
Mke wa mtu sumu kuna maziwa
Maziwa na kutaitiwa
(Tiwa savage)
Umealikwa, umealikwa
We njoo na mpunga patakalika
Mashimo yote kanapita
Twende milima na mabonde panapitika

Kwanza poleni, poleni
Nawapa wote poleni
Nawatakia poleni
Nawasalia poleni
Ee, mlioachwa
(Poleni)
Mnaodai
(poleni)
Msio na baby
(Poleni)
Mkakojoe
(Kalaleni)

Komando, komando
(Waambie sisi ndio vipensi komando)
(Waambie sisi ndio vipensi komando)
Kanfuma na katoto katanga
Kamfuma kametoka na kanga ghetto
(Ehh..)

Leave your comment