Lyrics: Billnass Ft Jay Melody - Puuh

[Picha: Instagram]

Pata na upakue Ubashiri wa Mechi mbalimbali ndani  ya Mdundo

Ili penzi la ukweli baby nipe tu

Na ukinikuta nimelala unakuja juu

Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu

Na ukinikumbatia moyo unadunda

puuh

 

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

 

Wacha niseme kitu buu

Siwezi kukutoa machozi

Maana mi sio kitunguu

Kila siku kwetu sikukuu

Valentine sio inshu kwetu

Si ni siku tu

Najua unapenda zawadi magift

Na ndo mana na work hard nikufixi

Iwe shida ya mavazi chakula na

maradhi

Sometimes niko radhi nijirisk

Nachofurahi hata nikikosa unaniombea kwa Mungu

Wapo waliowahi nitosa kisa sina fungu

Nakumbuka long time ilivyokuwa hard time

Kabla hujanitoa kwa ukungu

 

Ushaambiwa maneno shaziii

Ushaambiwa mi sina hadhi

Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi

Na bado ukanihitaji

Ushaambiwa maneno shaziii

Ushaambiwa mi sina hadhi

Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi

Na bado ukanihitaji

 

Ili penzi la ukweli baby nipe tu

Na ukinikuta nimelala unakuja juu

Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu

Na ukinikumbatia moyo unadunda Puuh

 

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

 

Check ulivopinda ukivaa unapendeza

Team ishakuamini chagua namba

utayocheza

Macho ya kichokozi yani kama

unakonyeza

Spending money for your love kwako

nawekeza

 

Zuuu zuuu zuuu zuuu ushanizuzua

Nishakuvisha vyeo na hakuna atayekuvua

Na kitu usichojua hata wakisema

Unajiuza wambie mi ndo nnayekununua

 

Ushaambiwa maneno shaziii Ushaambiwa mi sina hadhi

Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi

Na bado ukanihitaji

Ushaambiwa maneno shaziii

Ushaambiwa mi sina hadhi

Ukaambiwa mimi jambazi tapeli wa mapenzi

Na bado ukanihitaji

 

Ili penzi la ukweli baby nipe tu

Na ukinikuta nimelala unakuja juu

Tena kwa jinsi liko hot linawaka wuuu

Na ukinikumbatia moyo unadunda

puuh

 

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Oooh unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

Aaah unadunda puuh, puuh puuh puuuu

https://www.youtube.com/watch?v=3qN9A3XIPcw

Leave your comment