Lyrics: Diamond Platnumz -Chitaki

 

[Picha: Instagram]

Pata na upakue Ubashiri wa Mechi mbalimbali ndani  ya Mdundo

We ndo kitumbua we ndo sambusa

Basi njoo unichum baby ndo tuseme umesusa

We ndo mwisho wa reli

Kwako nimeweka nukta

Walokwambia nala zuchu sio kweli wanazusha

Wanao kaa vikao sisi kutujudge

Wape pole yao wanatwanga maji

Nawaongeze bidii kwenye mlogaji

Tupo ten gb penzi full charge

 

Fanya wainamaa wainukaa

Kiguu kinyanyue kama unatupa

Yani wainamaa wainukaa

Kiguu kinyanyue kisha weka nukta

Mi kuachana na wewe aku!

 

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki mi

Kuachana na wewe

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki mi

 

Mchana nikupe tango usiku ndizi swadakta

Tuanze fanya mambo kabla umeme hawajakata

Mapenzi mwenzie kiwango na umejariwa taranta

Na unanijua kwa jambo hatoki mtu kwa mkapa

 

Eeh! Aaah

Amuli chi chi chi

Amuli chacha chacha

Kamoyo ti ti ti nimeozaje sasa

Amuli chi chi chi

Amuli chacha chacha

Kamoyo ti ti ti nakuachaje sasa

Wanao kaa vikao sisi kutujudge

Wape pole yao wanatwanga maji

Nawaongeze bidii kwenye mlogaji

Tupo ten gb penzi full charge

 

Basi fanya

Fanya wainamaa wainukaa

Kiguu kinyanyue kama unatupa

Yani wainamaa wainukaa

Kiguu kinyanyue kisha weka nukta

Mi kuachana na wewe aku!

 

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki mi

Kuachana na wewe

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki mi

https://www.youtube.com/watch?v=AvMfRu91idw

Leave your comment