Moni Centrozone Warns Ex-girlfriend Nai Against Performing His Songs in Public

[Photo Credit: Moni and Nai]

By Branice Nafula

Follow Us on Google News

Tanzanian rapper Moni Centrozone has banned his former girlfriend against using his song at her shows.

Moni had been dating fellow singer Official Nai for a very long time but they recently had a nasty break break-up.

The two broke on live radio where they hurled insults to each other. However, in recent days Nai has been among artists during tours with the Wasafi team.

Download Moni Centrozone Music for Free on Mdundo

A video surfaced online showing Nai performing one of Moni Centrozone’s songs. The video angered the latter forcing him to take action against his ex.

Read Also: Nandy Features Joeboy in New ‘Number One’ Video

“Nimekuwa nikitumiwa hizi video na kupigiwa simu kutokana na tabia ya huyu binti kutumia nyimbo zangu kuburudisha kwenye matamasha mbalimbali. Kisheria haki za kuuza au kuburudisha kupitia kazi za sanaa anayo msanii husika aliezalisha hiyo kazi. binafsi huyu binti amekuwa akinikashifu kunipiga vita na kunidhalilisha kwenye jamii ilionizunguka hadi watu wa karibu lakini nimestaajabu kuona akitumia kazi zangu kwenye matamasha ya muziki .

Naomba kutoa onyo kali kwa uongozi wa akida og pamoja menejimenti nzima kuwa ni marufuku binti yenu kutumia kazi za majengo sokoni (moni centrozone) naomba hii tabia ikome mara moja kwani ni kinyume cha sheria nimeona niwe muungwana kutoa onyo maana kwenye sheria itawagharimu na mimi sina roho hiyo ya kukomoana ukizingatia naijua hali yake kimaisha hana uwezo wa kunilipa intellectual property rights. Nimechukua uamuzi huu kutokana na mashabiki zangu na cabinet ya majengo sokoni kutofurahishwa na kitendo hiko nawapenda mashabiki zangu na nawaheshimu sana.” he captioned.

Leave your comment