Diamond’s Manager Babu Tale Set to Contest Murogoro Parliamentary Election

By Branice Nafula

Follow Us on Google News

Diamond Platnumz’s manager Babutale has expressed his desire to vie for a Parliamentary seat in Morogoro constituency.

According to a post by Wasafi TV, Babutale picked election forms with an aim to formalize his parliamentary bid.

“Meneja na kiongozi wa Lebo kubwa nchini na Barani Afrika ya @wcb_wasafi , Hamisi Shabani Taletale (@babutale) , amechukua Fomu ya Kuomba ridhaa ya kukiwakisha Chama Cha Mapinduzi CCM Kwenye nafasi ya Ubunge wa Jimbo La Morogoro Vijijini , Kusini Mashariki, katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba Mwaka huu,” Wasafi TV posted on Instagram.

Meanwhile, popular Tanzanian rapper Webiro Wassira famously known as Wakazi Music has also expressed his desire to vie for a parliamentary seat for Ukonga Constituency in Dar Es Salaam in the upcoming elections.

In an Instagram post, Wakazi displayed his approval form to vie under the ACT Wazalendo party.

“Leo nilifanikiwa kuchukua fomu rasmi kwaajili ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia chama cha @actwazalendo_official natumai chama changu kitanipa ridhaa hiyo baada ya mchakato wa kura za maoni, na hatimaye kuweza kusimama kama mgombea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi oktoba,” his caption read in part.

"Nataka kuwa sehemu ya mabadiliko nayotaka kuyaona, na pia kuwa mfano wa Kiongozi bora hususan kwa Vijana. Pia kuonyesha kwa vitendo na utekelezaji, Uongozi ambao sio tu unaoacha alama bali pia kuacha Nuru itakayo waongoza watakaofuata baadae.HEKIMA, MAARIFA, UTHUBUTU na USHIRIKISHAJI ndio misingi ya yote ninayoyasimamia.I aspire to inspire, and bring the change that's desired. I have a vision of the change that Ukonga desires & craves for. The journey has commenced,” he added.

Leave your comment

Top stories