Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Baraka The Prince Abadili Dini, Awa Muislamu
17 July 2018

Kwa kitambo sasa hivi tunafahamu kwamba Mwimbaji wa Bongofleva Baraka The Prince amekua mapenzini na Mrembo Naj ambae ni Mwigizaji/Msanii ila hili la kubadili dini hatukua tunalifahamu.
Baraka amethibitisha kwa kusema ni kweli amebadili dini ambapo namnukuu akianza kwa kusema "Ujue mambo ya dini bro ni imani, sio rahisi kama wengine wanavyochukulia hivyo mpaka unaikana imani unakua umeamua sana, umefatilia umejua faida na hasara zake..."
Source: millardayo.com
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April


Leave your comment