Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Harmonize Aeleza Ugumu Wa Kuwa WCB
28 June 2018

Msanii wa muziki Bongo, Harmonize ametaja ugumu uliopo ndani ya label ya WCB.
Harmonize ambaye anatamba na wimbo DM Chick amesema ugumu uliopo WCB ni kila msanii ana uwezo mkubwa, hivyo kila mmoja anahakikisha anafanya kazi nzuri.
“Ugumu ni pale ambapo unafanya kazi na wasanii wote ambao ni talented, so way competion katika kurekodi ngoma kila mtu anataka kutoa ngoma yake kali kumshinda mwenzake, so ugumu unaanzia hapo,” Harmonize ameiambia Planet Fm.
Utakumbuka kuwa Harmonize ndiye msanii wa kwanza kusainiwa katika label ya WCB ambapo kwa mara ya kwanza alitoa wimbo uitwao Iyola uliomtambulisha katika Bongo Flava. Baada yake ndipo wakafuata wengine kama Rayvanny, Rich Mavoko, Queen Darleen, Lava Lava na Mbosso.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment