Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Harmonize Aeleza Ugumu Wa Kuwa WCB
28 June 2018

Msanii wa muziki Bongo, Harmonize ametaja ugumu uliopo ndani ya label ya WCB.
Harmonize ambaye anatamba na wimbo DM Chick amesema ugumu uliopo WCB ni kila msanii ana uwezo mkubwa, hivyo kila mmoja anahakikisha anafanya kazi nzuri.
“Ugumu ni pale ambapo unafanya kazi na wasanii wote ambao ni talented, so way competion katika kurekodi ngoma kila mtu anataka kutoa ngoma yake kali kumshinda mwenzake, so ugumu unaanzia hapo,” Harmonize ameiambia Planet Fm.
Utakumbuka kuwa Harmonize ndiye msanii wa kwanza kusainiwa katika label ya WCB ambapo kwa mara ya kwanza alitoa wimbo uitwao Iyola uliomtambulisha katika Bongo Flava. Baada yake ndipo wakafuata wengine kama Rayvanny, Rich Mavoko, Queen Darleen, Lava Lava na Mbosso.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April
- Who Is Bad Beric
24 April


Leave your comment