Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Walichokubaliana Barnaba Na Vanessa Mdee, Kila Mwaka Watakifanya
22 June 2018

Msaani wa Bongo Flava, Barnaba amefunguka sababu ya kufanya ngoma nyingine na Vanessa Mdee.
Muimbaji huyo amesema kuwepo kwa muendelezo wa ngoma kati yake na Vanessa ni moja ya makubaliano yao kimuziki.
“Chausiku ni mwendelezo wa 'Siri' lakini ni aina yake, kwenye ladha yake na kwenye muonekano wake tofauti. Lakini mimi na Vanessa tuna makubaliano ya kufanya ngoma moja kila mwaka,” Barnaba ameiambia EATV.
Hadi sasa Barnaba na Vanessa Mdee wametoa ngoma mbili, wimbo wa kwanza ‘Siri’ ulitoka mwaka na wa pili ambao ndio mpya kwa sasa unaitwa Chausiku.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

In My Bed2:50
KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
Buwooma2:44
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
CHAMPION GAL3:00
Kamwambie3:47
Top stories
- UPCOMING EP FROM EMKAY64
14 May
- Daniel Sifuna
14 May
- Generation
16 May
- NEW SONG ALERT
16 May


Leave your comment