Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: ‘A Boy From Tandale’ Kutoka March
26 February 2018

Hayawi hayawi sasa yamekuwa hatimaye albamu ya Diamond Platnumz ya ‘A Boy From Tandale’ yenye ngoma takribani 20 kutua mwezo ujao.
Albamu hiyo inatarajiwa kutua rasmi mwezi ujao tarehe 16 huku ikiwa na hit kibao kama, ‘Hallelujah’ aliyoshirikisha Morgan Heritage’, ‘Waka Waka’ aliyomshirikisha Rick Ross, ‘Marry You’ aliyomshirikisha Ne-Yo , ‘African Beuty’ aliyomshirikisha Omarion pamoja na ngoma zingine alizofanya mwenyewe kama ‘ Sikomi’ pamoja na zinginezo kutoka kwa wasanii kutoka Afrika.
Kwa mujibu wa meneja wa msanii huyo Sallam SK, kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram ameweka rasmi tarehe hiyo huku akiujuza uma kuwa kwa sasa unaweza kutoa Pre-Order albamu hiyo.

Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs
Top stories
- The Marathon
25 April
- TRUE LOVE
26 April
- O Daynor pisom 03 casou
24 April
- HOWE WOU KUMA
25 April




Leave your comment