Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Vanessa Mdee Aungana na Alikiba na Dimpoz Kufuata Nyayo za Ben Pol
21 February 2018

Ben Pol ameonekana kuwavutia wasanii wa Bongo Flava kwa mwaka huu katika staili ya kuweka rangi nywele (breach). Baada ya Alikiba na Ommy Dimpoz kufanya hivyo, Vanessa Mdee ameamua kufuata nyayo hizo.
Vanessa amepost picha tatu katika mtandao wake wa Instagram ambazo zinamuonyesha akiwa katika muonekano wake mpya wa nywele zikiwa na rangi ya karoti.

New Hair Who Dis? @iambenpol najua umefarijika sana,” ameandika Vee kwenye moja ya picha alizoziweka kwenye mtandao huo.
Naye Ben Pol amemjibu Vanessa kupitia mtandao huo kwa kuandika, “Happy Faraja Week, naendelea kufarijika tu @vanessamdee.”
Source: Bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Tudo Trocado3:17
omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Nasema3:02
CHAMPION GAL3:00
Ekinuma4:59
I AM3:12
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
BESTIE2:26
Top stories
- Don't copy
15 July
- Coming soon song
14 July


Leave your comment