Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Lady Jay Dee azindua “Naamka Tena”
23 May 2016

Show kubwa ya msanii Lady Jaydee iliyopewa jina la ‘Naamka Tena Concert’ iliyofanyika Ijumaa hii kwenye ukumbi wa Mlimani City imefana. Kwenye show hiyo Jaydee alitumbuiza pamoja na bendi yake. Mastaa waliohudhuria ni pamoja na Alikiba,Wema Sepetu,Rama Dee,Idris Sultan,Lamar, Lulu na wengi.
Tazama picha za show hiyo:



























Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Gan theking
16 August
- Kadric m Gangsta Bleed out Now
16 August
- News
16 August




Leave your comment