Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Q Chief aitupia lawama uongozi wake
20 April 2016

Msanii wa Bongo Fleva Q Chief atupia lawama kwa uongozi wake kwa kushindwa kumsafirisha kwenda kufanya video nje ya nchi kama alivyoahidi mara ya mwisho alivyozungumza na Enewz.
Awali Star huyo wa bongo flava alishawahi kuiambia Enewz kwamba hana mpango wa kufanya kazi na wakina Hanscana yaani madirector wa bongo na plan zake ni kupanda ndege na kwenda kufanya video nje na madirector wengine kutokana na madirector wa Bongo kukosa ubunifu na kuwachana kuwa warudi shule wakasome kwanza.
Sasa lawama za Q Chief zimerudi kwa uongozi wake wa QS Entertainment kuwa kutokana na wingi wa wasanii ndiyo sababu ya yeye kukosa nafasi ya kutimiza mipango yake kama alivyotarajia.
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April
- One and only
01 May
- No time for you
30 April


Leave your comment