Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Harmonize atoa nyimbo mpyaa… Ft Diamond Platnumz
29 February 2016

Msanii anaekuja kwa kasi ya hali ya juu kutoka kwenye kundi la WCB (Wasafi Classic Baby) Harmonize ametoa kibao chake kipya leo hii tar 29 februari kupitia kituo cha habari cha Clods Fm.
Mwanamuziki huyo aliyetamba na nyimbo ya Aiyola katika nyimbo hii mpya itwayo “Bado” amemshirikisha mkali wa nyimbo za bongo fleva Diamond Platnumz ambaye pia ni boss wake. Nyimbo imetayarishwa na Flaga na Laizer kutokea lebo ya WCB.
Unaweza kusikiliza nyimbo hii hapa:
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment