Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Harmonize atoa nyimbo mpyaa… Ft Diamond Platnumz
29 February 2016

Msanii anaekuja kwa kasi ya hali ya juu kutoka kwenye kundi la WCB (Wasafi Classic Baby) Harmonize ametoa kibao chake kipya leo hii tar 29 februari kupitia kituo cha habari cha Clods Fm.
Mwanamuziki huyo aliyetamba na nyimbo ya Aiyola katika nyimbo hii mpya itwayo “Bado” amemshirikisha mkali wa nyimbo za bongo fleva Diamond Platnumz ambaye pia ni boss wake. Nyimbo imetayarishwa na Flaga na Laizer kutokea lebo ya WCB.
Unaweza kusikiliza nyimbo hii hapa:
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment