Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Idris Sultan alikuwa akitarajia kupata twins? Soma hapa alichokiandika..
17 February 2016

Mshindi wa Big Brother 2014, Idris Sultan ameandika maneno ya uchungu na huzuni kuelezea masikitiko yake chini ya picha inayoonesha watoto mapacha.
Idriss ambaye yupo katika mahusiano na staa wa Bongo movie na aliyekuwa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Wiki chache zilizopita walikiri kuwa katika mahusiano na kueleza kuwa wanatarajia kupata mtoto, lakini kwa bahati mbaya mimba hiyo imeharibika.
Soma hapa alichokiandika kupitia ukurasa wake wa Instagram;


Maneno hayo kwa kiswahili;
Kwa mapacha wangu ambao bado walikuwa hawajazaliwa'
“Ni kwa haraka sana mmeingia katika maisha yetu, kwa haraka pia mmetuacha.
Sikuwahi kupata nafasi ya kuonanan na ninyi, kuna ving nataka kusema. Mawazo yote haya yanapita kichwani mwangu, yanatosha kunifanya kichaa.
Japo mliishi kwa wiki 13 tu, tuliwapenda sana. Natamani ningepata nafasi ya kuwaona na kuwashika. Naimani tutakutana katika maisha mengine. Mungu ametoa na ametwaa, hatuwezi kulalamika ila kuomba kuwa ilikuwa kwasababu na mipango mizuri kwa ajili yetu hapo baadaye. Kwa uchungu tumejifunza lakini pia hatutoacha kujaribu tena na tena, naomba kaka na dada zako watakapokuja katika ulimwengu huu tutakuwa zaidi ya tayari kwa ajili yao”
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May


Leave your comment