TANZANIA: Sina dharau wala sijidai kama watu wanvyodai – Ali Kiba

<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1455535035_6713_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">Staa wa muziki Ali Kiba amesema kwamba hana dharau wala hajidai kama watu wanavyodai.</p>
<p style="text-align: justify;">Mwanamuziki huyo ambaye ameachia video mpya ya wimbo wa &lsquo;Lupela&rsquo; hivi karibuni, akiongea na tovuti ya Bongo5 kuwa yeye sio mtu wa dharau na kujidai.</p>
<p style="text-align: justify;">&ldquo;Watu ambao wananifahamu wanajua Ali ni mtu wa kawaida sana&rdquo;, alisema.</p>
<p style="text-align: justify;">&ldquo;Leo nikifanyiwa interview nimesikia dada mmoja akisema eti nikisalimiwa siitikii, labda sijawasikia. Mimi bwana siigizi always nakwambia ukweli. Mimi sio mtu nimekuona alafu nisikusalimie, ikitokea hivyo labda sijakuona au mimi si binadamu bhana labda nimekwazwa au nimeamka vibaya lakini sio lengo langu. Sina vitu kama hivyo na sifikirii kuwa na vitu kama hivyo, lakini mimi sipo hivyo&rdquo;, alisema Ali Kiba.</p>
<p style="text-align: justify;">Source:Bongo 5</p>

Leave your comment