Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mfalme wa Lingala kutengeneza album na Christian Bella wa TZ
29 January 2016

Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za Lingala kutoka Jamhuri ya demokrasia Kongo, Koffi Olomide anatarajia kufanya album ya lugha ya Kiswahili akishirikiana na msanii wa Christian Bella.
Wasanii hao wana wimbo mmoja waliofanya kolabo na ulitoka mwezi wa 12, 2015 uitwao ‘Acha Kabisa’ na kuamua kusonga mbele zaidi kutengeneza album.
Source: Standard Digital
Weekly Top 10 songs
Top stories
- DJ GALIK PRO
02 May
- SHUKRANI
02 May




Leave your comment