Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Tekno (Nigeria) kutumbuiza Dar siku ya mkesha wa Mwaka mpya
30 December 2015

Msanii wa Nigeria anayetamba na kibao cha ‘Duro’, Tekno Miles anatarajia kutua jijini Dar es salaam wiki hii kwa ajili ya kufunga mwaka na fans wake wa Tanzania.
Msanii huyo ambaye wiki chache zilizopita ameachia wimbo mpya unaoitwa ‘Wash’, anatarajia kufanya show ya kufunga mwaka 2015, Dec, 31, kwenye ukumbi wa King Solomon jijini Dar.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Tekno anayedaiwa kuwahi kuwa na mahusiano na Agness Masogange ameonesha kujiweka karibu zaidi na mashabiki wa Tanzania kwa kutumia lugha ya Kiswahili kwenye baadhi ya post zake za kuhamasisha kuhusu show hiyo
Pia amerepost post ya muigizaji wa Bongo Movie, Elizabeth Michael (Lulu).

Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment